KAFULILA HUYOOOOOOOOOOO APETA KIGOMA
Mbuge wa Kigoma kupitia chama cha NCCR MAGEUZI , Mh David Kafulila aendelea kupeta katika jimbo lake hii ni baada ya katibu mwenezi wa chama hicho bwana Samweli Rwehuza alipomponda mh huyu na kusababisha azomewe na wanainchi hawa hali iliyosababisha katibu huyu kushindwa kuendelea na mkutano huo
Comments
Post a Comment