KAFULILA HUYOOOOOOOOOOO APETA KIGOMA

Mbuge wa Kigoma kupitia chama cha NCCR MAGEUZI , Mh David Kafulila aendelea kupeta katika jimbo lake hii ni baada ya katibu mwenezi wa chama hicho bwana Samweli Rwehuza  alipomponda mh huyu na kusababisha azomewe na wanainchi hawa hali iliyosababisha katibu huyu kushindwa kuendelea na mkutano huo

Comments

Popular posts from this blog