Posts

Showing posts from February 11, 2012

HABARI KWA WANAUDOM WANAOSOMA BAGE NA EDM KATIKA CHUO KIKUU CHA DODOMA

Image
Kwa taarifa zilizopo ni kwanba wanafunzi wa cho kikuu cha Dodoma wanaosoma degree tajwa hapo juu  wanatarajia kwenda kufanya research katika moja ya mkoa wa kaskazini unaopatikana Tanzania yaani (MANYARA) hivyo blog yako ya nyumbani NGASSA THE GREAT inakuwa pamoja nawe mwana BAGE na Mwana EDM katika A-Z  zitakazojili toka mwanzo wa tour hadi mwisho wa tour hii., Ikiwa ni pamoja na kukuandalia matangazo pamoja na picha za matukio na mambo mbalimbali yatakayojilimhuko katika kufanikisha tour hii , Mungu awajalie kila lililo la kheri katika kufanikisha tour. hivyo basi blogyako inakuarifu kuwa itakuandalie store ya picha za matukio yote yatakayojili huko tukiwa na kamera yetu iliyo katika ubora na ya kisasa kabisa yenye  8 megapixels so jumuika nasi mwanzo hadi mwisho wa tour hii kwa kumbukumbu yako ya kimaisha hapo baadaye ANGALIZO Blog yetu haitahusika na taarifa zilizo nje ya  kile kitakacho kuwa kinafanyika huko nikimaanisha hatutaweza kutoa ama kuandika taarifa zilizo nje na maada