RIHANNA MSANII ANATIKISA NCHI ZA MBALI

Du mwanadada huko juu kimtindo na anapendwa na watu kutokana na uimbaji wake wa madaha pamoja na utalaamu wa kutumia sauti yake ktk uimbaji, mwanashosti huyu pia ni mrembwede kwa namna yake coz amekuwa mwenye mvuto kwa vijana wa leo

Comments

Popular posts from this blog