RAISI KIKWETE ANA KWA ANA NA DKT SLAA IKULU


Raisi KIKWETE jana ucku alikutana ana kwa ana hasimu wake mkubwa katibu wa CHADEMA Dkt WILLIBROAD SLAA na hii ni katika kukamilisha mchakato wa uundaji wa katiba mpya ambapo majadiliano haya yllifanyika ikulu

Comments

Popular posts from this blog